Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata hivyo, mfalme wa Ashuru akatambua kuna hila+ ndani ya Hoshea, kwa vile alikuwa ametuma wajumbe kwa So mfalme wa Misri+ naye hakuleta ushuru kwa mfalme wa Ashuru kama katika miaka ya hapo mwanzoni. Basi mfalme wa Ashuru akamfungia ndani na kuendelea kumfunga kifungoni.+

  • Isaya 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ole wao wanaoshuka kwenda Misri kutafuta usaidizi,+ wale wanaotegemea farasi+ ambao si kitu, na wanaotegemea magari ya vita,+ kwa sababu ni mengi, na kutegemea farasi wa vita, kwa sababu wana nguvu sana, lakini ambao hawakumtazama Mtakatifu wa Israeli wala kumtafuta Yehova mwenyewe.+

  • Ezekieli 29:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na wakaaji wote wa Misri watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ kwa sababu walikuwa, kama kitegemeo, utete kwa nyumba ya Israeli.+

  • Hosea 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Efraimu ni kama njiwa+ mjinga, asiye na ufahamu.+ Wameita Misri;+ wameenda Ashuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki