19 Pulu+ mfalme wa Ashuru+ akaingia katika nchi. Basi Menahemu akampa+ Pulu talanta elfu moja za fedha,+ ili mikono yake iwe pamoja naye kuimarisha ufalme mkononi mwake.+
18 Na sasa kwa nini ujishughulishe na njia ya Misri+ ili kunywa maji ya Shihori?+ Na kwa nini ujishughulishe na njia ya Ashuru+ ili kunywa maji ya ule Mto?
5 “Naye Ohola akaanza kufanya ukahaba,+ alipokuwa chini yangu, na kuendelea kuwa na uchu kuwaelekea wale wanaompenda kwa tamaa,+ kuwaelekea Waashuru,+ waliokuwa karibu,