Hesabu 27:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.” 1 Wafalme 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini Yehoshafati akasema: “Je, hayupo hapa tena nabii wa Yehova? Basi na tuulize kupitia yeye.”+
21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.”