Kutoka 28:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nawe utaweka Urimu+ na Thumimu ndani ya kile kifuko cha kifuani cha hukumu, nazo zitakuwa juu ya moyo wa Haruni anapoingia mbele za Yehova; naye Haruni atachukua hukumu+ za wana wa Israeli juu ya moyo wake mbele za Yehova daima. Mambo ya Walawi 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha akamvika kile kifuko cha kifuani+ na kutia Urimu na Thumimu+ ndani ya kifuko hicho. Kumbukumbu la Torati 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Lawi akamwambia:+“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+Uliyemjaribu huko Masa.+Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+ 1 Samweli 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye Daudi akaja kujua kwamba Sauli alikuwa akitunga madhara+ juu yake. Basi akamwambia Abiathari kuhani: “Ilete efodi hapa.”+ 1 Samweli 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+ Nehemia 7:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Basi huyo Tirshatha+ akawaambia kwamba hawapaswi kula+ vitu vitakatifu zaidi mpaka kuhani mwenye Urimu+ na Thumimu+ asimame.
30 Nawe utaweka Urimu+ na Thumimu ndani ya kile kifuko cha kifuani cha hukumu, nazo zitakuwa juu ya moyo wa Haruni anapoingia mbele za Yehova; naye Haruni atachukua hukumu+ za wana wa Israeli juu ya moyo wake mbele za Yehova daima.
8 Na Lawi akamwambia:+“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+Uliyemjaribu huko Masa.+Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+
9 Naye Daudi akaja kujua kwamba Sauli alikuwa akitunga madhara+ juu yake. Basi akamwambia Abiathari kuhani: “Ilete efodi hapa.”+
6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+
65 Basi huyo Tirshatha+ akawaambia kwamba hawapaswi kula+ vitu vitakatifu zaidi mpaka kuhani mwenye Urimu+ na Thumimu+ asimame.