Kutoka 28:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nawe utaweka Urimu+ na Thumimu ndani ya kile kifuko cha kifuani cha hukumu, nazo zitakuwa juu ya moyo wa Haruni anapoingia mbele za Yehova; naye Haruni atachukua hukumu+ za wana wa Israeli juu ya moyo wake mbele za Yehova daima. 1 Samweli 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+
30 Nawe utaweka Urimu+ na Thumimu ndani ya kile kifuko cha kifuani cha hukumu, nazo zitakuwa juu ya moyo wa Haruni anapoingia mbele za Yehova; naye Haruni atachukua hukumu+ za wana wa Israeli juu ya moyo wake mbele za Yehova daima.
6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+