Zaburi 74:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hatujaona ishara zetu; hakuna nabii tena,+Wala hakuna yeyote kwetu anayejua ni kwa muda gani. Maombolezo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Malango+ yake yamezama chini kabisa. Ameharibu na kuvunja mapingo yake vipande-vipande.Mfalme wake na wakuu wake wako kati ya mataifa.+ Hakuna sheria.+Manabii wake pia hawakupata maono kutoka kwa Yehova.+
9 Malango+ yake yamezama chini kabisa. Ameharibu na kuvunja mapingo yake vipande-vipande.Mfalme wake na wakuu wake wako kati ya mataifa.+ Hakuna sheria.+Manabii wake pia hawakupata maono kutoka kwa Yehova.+