Maombolezo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Malango yake yamezama chini ardhini.+ Ameyaharibu na kuyavunja makomeo yake. Mfalme wake na wakuu wake wako miongoni mwa mataifa.+ Hakuna sheria;* hata manabii wake hawapati maono kutoka kwa Yehova.+ Maombolezo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:9 jr 73 Maombolezo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:9 Yeremia, uku. 73
9 Malango yake yamezama chini ardhini.+ Ameyaharibu na kuyavunja makomeo yake. Mfalme wake na wakuu wake wako miongoni mwa mataifa.+ Hakuna sheria;* hata manabii wake hawapati maono kutoka kwa Yehova.+