Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu kwa kuwa waangalifu kutenda amri zake zote na sheria zake ninazowaamuru leo, laana hizi zote zitawajia na kuwatangulia:+

  • Kumbukumbu la Torati 28:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Yehova atawapeleka ninyi na mfalme mliyemchagua awe juu yenu, kwenye taifa ambalo ninyi hamlijui wala mababu zenu hawakulijua,+ na huko mtaabudu miungu mingine, miungu ya miti na ya mawe.+

  • 2 Wafalme 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi akampeleka Yehoyakini+ uhamishoni Babiloni;+ alimpeleka pia mama ya mfalme, wake za mfalme, maofisa wa makao yake, na viongozi wa nchi, akawapeleka uhamishoni Babiloni kutoka Yerusalemu.

  • 2 Wafalme 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wakawachinja wana wa Sedekia huku akitazama; kisha Nebukadneza akampofusha macho Sedekia, akamfunga kwa pingu za shaba, na kumpeleka Babiloni.+

  • Maombolezo 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu, mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+

      Yule tuliyesema hivi kumhusu: “Tutaishi chini ya kivuli chake miongoni mwa mataifa.”

  • Ezekieli 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nitautandaza wavu wangu juu yake, naye atakamatwa katika wavu wangu wa kuwindia.+ Kisha nitampeleka Babiloni, kwenye nchi ya Wakaldayo, lakini hataiona; naye atafia huko.+

  • Danieli 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha Mfalme Nebukadneza akamwagiza Ashpenazi ofisa mkuu wa makao yake ya kifalme awalete baadhi ya Waisraeli,* kutia ndani wale wanaotoka katika uzao wa kifalme na wa watu mashuhuri.+

  • Danieli 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa baadhi ya vijana hao walikuwa wa kabila la* Yuda: Danieli,*+ Hanania,* Mishaeli,* na Azaria.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki