Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 52:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha wakamkamata mfalme na kumpeleka mpaka kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla katika nchi ya Hamathi, naye akamhukumu.

  • Ezekieli 17:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nitautandaza wavu wangu juu yake, naye atakamatwa katika wavu wangu wa kuwindia.+ Nitamleta Babiloni na kumhukumu huko kwa sababu ya ukosefu wa uaminifu alionitendea.+ 21 Wakimbizi wote kati ya wanajeshi wake watauawa kwa upanga, na wale wanaobaki watatawanyika kila upande.*+ Ndipo mtakapolazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki