Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 32:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na Mfalme Sedekia wa Yuda hataponyoka kutoka kwa Wakaldayo, kwa maana hakika atatiwa mikononi mwa mfalme wa Babiloni, naye atazungumza naye uso kwa uso na kumwona jicho kwa jicho.”+ 5 ‘Atampeleka Sedekia Babiloni, naye atakaa huko mpaka nitakapomkazia fikira,’ asema Yehova. ‘Ingawa mnaendelea kupigana na Wakaldayo, hamtafanikiwa.’”+

  • Ezekieli 12:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mkuu aliye miongoni mwao atabeba mizigo yake begani na kuondoka kukiwa na giza. Atatoboa shimo ukutani na kuibeba mizigo yake kupitia humo.+ Ataufunika uso wake ili asione chini.’ 13 Nitautandaza wavu wangu juu yake, naye atakamatwa katika wavu wangu wa kuwindia.+ Kisha nitampeleka Babiloni, kwenye nchi ya Wakaldayo, lakini hataiona; naye atafia huko.+

  • Ezekieli 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘“Kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “atafia huko Babiloni, mahali ambapo anaishi mfalme* aliyemweka* kuwa mfalme, ambaye alikidharau kiapo chake na ambaye alilivunja agano lake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki