Nehemia 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakanijibu: “Wale waliobaki na kuponyoka utekwani ambao wamebaki katika mkoa* ule wako katika hali mbaya sana na yenye kuaibisha.+ Kuta za Yerusalemu zimebomolewa,+ na malango yake yameteketezwa kwa moto.”+ Yeremia 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yuda inaomboleza,+ na malango yake yamefifia. Yamehuzunika na kuzama ardhini,Na kilio kinapanda juu kutoka Yerusalemu.
3 Wakanijibu: “Wale waliobaki na kuponyoka utekwani ambao wamebaki katika mkoa* ule wako katika hali mbaya sana na yenye kuaibisha.+ Kuta za Yerusalemu zimebomolewa,+ na malango yake yameteketezwa kwa moto.”+
2 Yuda inaomboleza,+ na malango yake yamefifia. Yamehuzunika na kuzama ardhini,Na kilio kinapanda juu kutoka Yerusalemu.