Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 nitawaondolea mbali Waisraeli kutoka katika nchi ambayo nimewapa,+ na nyumba ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu nitaitupilia mbali kutoka mbele za macho yangu,+ na Israeli itakuwa kitu cha kudharauliwa* na kitu cha kudhihakiwa miongoni mwa mataifa yote.+

  • Nehemia 9:36, 37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Basi leo hii sisi ni watumwa+—naam, watumwa katika nchi ambayo uliwapa mababu zetu ili wale matunda yake na vitu vyake vyema. 37 Mazao yake mengi ni ya wafalme uliowafanya watutawale kwa sababu ya dhambi zetu.+ Wanatutawala wapendavyo na kuitendea mifugo yetu wapendavyo, tunateseka sana.

  • Zaburi 79:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Tumekuwa kitu cha kushutumiwa na majirani wetu;+

      Wale wanaotuzunguka wanatudhihaki na kutufanyia mzaha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki