Kumbukumbu la Torati 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu kwa kuwa waangalifu kutenda amri zake zote na sheria zake ninazowaamuru leo, laana hizi zote zitawajia na kuwatangulia:+ Kumbukumbu la Torati 28:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mavuno ya ardhi yako na mazao yako yote yataliwa na watu usiowajua,+ na sikuzote watu watawalaghai na kuwakandamiza. Nehemia 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na wengine walikuwa wakisema: “Tumekopa pesa kwa kuweka rehani mashamba yetu na mashamba yetu ya mizabibu ili kulipa ushuru wa mfalme.+
15 “Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu kwa kuwa waangalifu kutenda amri zake zote na sheria zake ninazowaamuru leo, laana hizi zote zitawajia na kuwatangulia:+
33 Mavuno ya ardhi yako na mazao yako yote yataliwa na watu usiowajua,+ na sikuzote watu watawalaghai na kuwakandamiza.
4 Na wengine walikuwa wakisema: “Tumekopa pesa kwa kuweka rehani mashamba yetu na mashamba yetu ya mizabibu ili kulipa ushuru wa mfalme.+