Nehemia 9:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Mazao yake mengi ni ya wafalme uliowafanya watutawale kwa sababu ya dhambi zetu.+ Wanatutawala wapendavyo na kuitendea mifugo yetu wapendavyo, tunateseka sana. Isaya 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nchi yenu ni ukiwa. Majiji yenu yameteketezwa kwa moto. Wageni wanaila nchi yenu mbele ya macho yenu.+ Ni kama nchi iliyo ukiwa iliyoharibiwa kabisa na wageni.+
37 Mazao yake mengi ni ya wafalme uliowafanya watutawale kwa sababu ya dhambi zetu.+ Wanatutawala wapendavyo na kuitendea mifugo yetu wapendavyo, tunateseka sana.
7 Nchi yenu ni ukiwa. Majiji yenu yameteketezwa kwa moto. Wageni wanaila nchi yenu mbele ya macho yenu.+ Ni kama nchi iliyo ukiwa iliyoharibiwa kabisa na wageni.+