- 
	                        
            
            Kumbukumbu la Torati 28:63Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
63 “Na kama Yehova alivyopendezwa wakati mmoja kuwafanikisha na kuwafanya mwongezeke, ndivyo Yehova atakavyopendezwa kuwaharibu na kuwaangamiza; nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayokaribia kuimiliki.
 
 -