Kumbukumbu la Torati 28:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Nanyi mtakuwa kitu cha kutisha na cha kudharauliwa,* na kitu cha kudhihakiwa miongoni mwa mataifa yote ambako Yehova atawapeleka.+ Zaburi 44:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Unatufanya kuwa kitu cha kudharauliwa* miongoni mwa mataifa,+Kitu cha kutikisiwa kichwa na mataifa.
37 Nanyi mtakuwa kitu cha kutisha na cha kudharauliwa,* na kitu cha kudhihakiwa miongoni mwa mataifa yote ambako Yehova atawapeleka.+
14 Unatufanya kuwa kitu cha kudharauliwa* miongoni mwa mataifa,+Kitu cha kutikisiwa kichwa na mataifa.