Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 74:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hatuoni ishara yoyote;

      Hakuna tena nabii yeyote,

      Na hakuna yeyote miongoni mwetu anayejua hali hii itaendelea hadi lini.

  • Yeremia 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova wa majeshi anasema hivi:

      “Msiyasikilize maneno ya manabii wanaowatabiria ninyi.+

      Wanawadanganya.*

      Wanasema maono ya moyo wao wenyewe,+

      Si kutoka katika kinywa cha Yehova.+

  • Ezekieli 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Msiba utakuja juu ya msiba, na habari baada ya habari, na watu watatafuta maono kutoka kwa nabii,+ lakini sheria itatoweka* kutoka kwa kuhani na ushauri* kutoka kwa wazee.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki