Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 74:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hatuoni ishara yoyote;

      Hakuna tena nabii yeyote,

      Na hakuna yeyote miongoni mwetu anayejua hali hii itaendelea hadi lini.

  • Maombolezo 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Malango yake yamezama chini ardhini.+

      Ameyaharibu na kuyavunja makomeo yake.

      Mfalme wake na wakuu wake wako miongoni mwa mataifa.+

      Hakuna sheria;* hata manabii wake hawapati maono kutoka kwa Yehova.+

  • Ezekieli 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Mwana wa binadamu, zungumza na wazee wa Israeli uwaambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Je, mnakuja kuniomba ushauri? ‘Kwa hakika kama ninavyoishi, sitawajibu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki