Isaya 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mnapokuja kusimama mbele zangu,+Ni nani ambaye amewataka mfanye hivyo,Mzikanyage-kanyage nyua zangu?+ Isaya 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na mnaponyoosha mikono yenu,Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+ Ingawa mnatoa sala nyingi,+Mimi sisikilizi;+Mikono yenu imejaa damu.+ Ezekieli 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Mwana wa binadamu, wanaume hawa wameazimia kufuata sanamu zao zinazochukiza,* nao wameweka kikwazo kinachowafanya watu watende dhambi. Je, niwaruhusu waniombe ushauri?+
12 Mnapokuja kusimama mbele zangu,+Ni nani ambaye amewataka mfanye hivyo,Mzikanyage-kanyage nyua zangu?+
15 Na mnaponyoosha mikono yenu,Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+ Ingawa mnatoa sala nyingi,+Mimi sisikilizi;+Mikono yenu imejaa damu.+
3 “Mwana wa binadamu, wanaume hawa wameazimia kufuata sanamu zao zinazochukiza,* nao wameweka kikwazo kinachowafanya watu watende dhambi. Je, niwaruhusu waniombe ushauri?+