Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Elisha akamwambia mfalme wa Israeli: “Kwa nini umekuja kuniona?*+ Nenda kwa manabii wa baba yako na kwa manabii wa mama yako.”+ Lakini mfalme wa Israeli akamwambia: “Sitaenda, kwa maana ni Yehova aliyetuita sisi wafalme watatu ili atutie mikononi mwa Moabu.”

  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na mnaponyoosha mikono yenu,

      Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+

      Ingawa mnatoa sala nyingi,+

      Mimi sisikilizi;+

      Mikono yenu imejaa damu.+

  • Yeremia 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Ninawaletea msiba+ ambao hawataweza kuuepuka. Watakaponiomba msaada, sitawasikiliza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki