Yeremia 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta juu yao msiba+ ambao hawataweza kuondoka ndani yake;+ nao hakika wataniomba msaada, lakini sitawasikiliza.+
11 Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta juu yao msiba+ ambao hawataweza kuondoka ndani yake;+ nao hakika wataniomba msaada, lakini sitawasikiliza.+