2 Wafalme 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Yehova anasema, ‘Nitaleta msiba mahali hapa na kwa wakaaji wake, maneno yote ya kitabu ambacho mfalme wa Yuda amesoma.+ Yeremia 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sikiliza, Ee dunia! Ninawaletea msiba watu hawa+Kama matunda ya mipango yao,Kwa maana hawakuyasikiliza maneno yanguNao waliikataa sheria* yangu.” Ezekieli 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Tazama! Msiba, msiba wa pekee, unakuja.+
16 “Yehova anasema, ‘Nitaleta msiba mahali hapa na kwa wakaaji wake, maneno yote ya kitabu ambacho mfalme wa Yuda amesoma.+
19 Sikiliza, Ee dunia! Ninawaletea msiba watu hawa+Kama matunda ya mipango yao,Kwa maana hawakuyasikiliza maneno yanguNao waliikataa sheria* yangu.”