Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “‘Ndiyo sababu Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: “Hakika nilisema kwamba nyumba yako na nyumba ya babu yako itatembea mbele zangu daima.”+ Lakini sasa Yehova anatangaza hivi: “Ni jambo nisiloweza kamwe kuwazia, kwa sababu wale wanaoniheshimu nitawaheshimu,+ lakini wale wanaonidharau watadharauliwa.”

  • Ezekieli 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Mwana wa binadamu, wanaume hawa wameazimia kufuata sanamu zao zinazochukiza,* nao wameweka kikwazo kinachowafanya watu watende dhambi. Je, niwaruhusu waniombe ushauri?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki