Zaburi 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova hunithawabisha kulingana na uadilifu wangu;+Hunilipa kulingana na usafi* wa mikono yangu.+ Zaburi 91:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mungu alisema: “Kwa sababu ananipenda,* nitamwokoa.+ Nitamlinda kwa sababu analijua* jina langu.+