Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tazama baba yangu, angalia nimeshika upindo wa joho lako lisilo na mikono; kwa sababu nilipokata upindo wa joho lako lisilo na mikono, sikukuua. Sasa unaweza kuona na kuelewa kwamba sikusudii kukudhuru wala kukuasi, nami sijakutendea dhambi,+ lakini wewe unaniwinda ili kuniua.*+

  • 2 Samweli 22:21-25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yehova hunithawabisha kulingana na uadilifu wangu;+

      Hunilipa kulingana na usafi wa* mikono yangu.+

      22 Kwa maana nimezishika njia za Yehova,

      Nami sijamwacha kwa uovu Mungu wangu.

      23 Hukumu zake zote+ ziko mbele yangu;

      Sitageuka kando kutoka kwenye sheria zake.+

      24 Nitabaki bila lawama+ mbele zake,

      Nami nitajiepusha na uovu.+

      25 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+

      Kulingana na usafi wangu* mbele zake.+

  • Zaburi 24:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+

      Na ni nani anayeweza kusimama mahali pake patakatifu?

       4 Yeyote mwenye mikono isiyo na hatia na mwenye moyo safi,+

      Ambaye hajaapa kwa uwongo kwa uhai Wangu,*

      Wala kuapa kwa udanganyifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki