Zaburi 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nitabaki bila lawama mbele zake,+Nami nitajiepusha na uovu.+ Methali 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mwenye hekima hujihadhari na kuepuka uovu,Lakini mpumbavu hajali,* naye anajiamini kupita kiasi.