Zaburi 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+Kulingana na usafi* wa mikono yangu mbele zake.+ Methali 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele ya macho ya Yehova;Yeye huvichunguza vijia vyake vyote.+