2 Samweli 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+Kulingana na usafi wangu* mbele zake.+ Methali 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele ya macho ya Yehova;Yeye huvichunguza vijia vyake vyote.+