Isaya 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Waambie waadilifu kwamba mambo yatawaendea vema;Watathawabishwa kwa yale wanayotenda.*+ Waebrania 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Isitoshe, bila imani haiwezekani kumpendeza Mungu vema, kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kuwa yuko* na kwamba yeye huwa mthawabishaji wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+
6 Isitoshe, bila imani haiwezekani kumpendeza Mungu vema, kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kuwa yuko* na kwamba yeye huwa mthawabishaji wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+