Mhubiri 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ingawa huenda mwovu akatenda uovu mara mia moja na bado aishi kwa muda mrefu, hata hivyo ninajua kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu wa kweli, kwa sababu wanamwogopa.+ Sefania 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole* wa dunia,Mnaoshika amri zake za uadilifu.* Utafuteni uadilifu, utafuteni upole.* Huenda* mtafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+
12 Ingawa huenda mwovu akatenda uovu mara mia moja na bado aishi kwa muda mrefu, hata hivyo ninajua kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu wa kweli, kwa sababu wanamwogopa.+
3 Mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole* wa dunia,Mnaoshika amri zake za uadilifu.* Utafuteni uadilifu, utafuteni upole.* Huenda* mtafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+