Zaburi 34:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwogopeni Yehova, ninyi nyote watakatifu wake,Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+ Zaburi 103:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama baba anavyowaonyesha wanawe rehema,Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+ Zaburi 112:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 112 Msifuni Yah!*+ א [Aleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ב [Beth] Anayependezwa sana na amri zake.+ Isaya 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Waambie waadilifu kwamba mambo yatawaendea vema;Watathawabishwa kwa yale wanayotenda.*+ 2 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+
13 Kama baba anavyowaonyesha wanawe rehema,Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+
112 Msifuni Yah!*+ א [Aleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ב [Beth] Anayependezwa sana na amri zake.+
9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+