Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mwogopeni Yehova, ninyi nyote watakatifu wake,

      Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+

  • Zaburi 103:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kama baba anavyowaonyesha wanawe rehema,

      Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+

  • Zaburi 112:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 112 Msifuni Yah!*+

      א [Aleph]

      Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+

      ב [Beth]

      Anayependezwa sana na amri zake.+

  • Isaya 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Waambie waadilifu kwamba mambo yatawaendea vema;

      Watathawabishwa kwa yale wanayotenda.*+

  • 2 Petro 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki