1 Mwenye furaha ni mtu ambaye hatembei katika mashauri ya waovu
Na hasimami katika njia ya watenda dhambi+
Naye haketi katika kiti cha wenye dhihaka.+
2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+
Naye huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+