Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 1:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Mwenye furaha ni mtu ambaye hatembei katika mashauri ya waovu

      Na hasimami katika njia ya watenda dhambi+

      Naye haketi katika kiti cha wenye dhihaka.+

       2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+

      Naye huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini* mchana na usiku.+

  • Zaburi 40:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee Mungu wangu, ninafurahia* kufanya mapenzi yako,+

      Na sheria yako imo ndani yangu kabisa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki