Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+

      Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+

  • Zaburi 40:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee Mungu wangu, ninafurahia* kufanya mapenzi yako,+

      Na sheria yako imo ndani yangu kabisa.+

  • Zaburi 112:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 112 Msifuni Yah!*+

      א [Aleph]

      Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+

      ב [Beth]

      Anayependezwa sana na amri zake.+

  • Mathayo 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Wenye furaha ni wale wanaotambua uhitaji wao wa kiroho,*+ kwa kuwa Ufalme wa mbinguni ni wao.

  • Waroma 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa kweli naipenda sheria ya Mungu kulingana na mtu niliye kwa ndani,+

  • Yakobo 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini anayechunguza sheria kamilifu+ ambayo ni ya uhuru na kudumu katika hiyo, amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi; naye atafurahia kile anachofanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki