Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kitabu hiki cha Sheria kisiondoke kinywani mwako,+ ni lazima ukisome kwa sauti ya chini* mchana na usiku ili ufuate kwa uangalifu mambo yote yaliyoandikwa humo;+ ndipo utakapofanikisha njia yako na kutenda kwa hekima.+

  • Zaburi 119:97
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 97 Jinsi ninavyoipenda sana sheria yako!+

      Ninaitafakari* mchana kutwa.+

  • 1 Timotheo 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Tafakari* mambo haya; zama katika hayo, ili maendeleo yako yaonekane wazi kwa watu wote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki