Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Atakapoketi kwenye kiti cha ufalme wake, ni lazima ajiandikie kwenye kitabu* nakala ya Sheria hii, kwa kutumia nakala inayowekwa na makuhani Walawi.+

      19 “Anapaswa kubaki nacho, naye lazima akisome sikuzote za maisha yake,+ ili ajifunze kumwogopa Yehova Mungu wake na kushika maneno yote ya Sheria hii na masharti haya kwa kuyatekeleza.+

  • Zaburi 1:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Mwenye furaha ni mtu ambaye hatembei katika mashauri ya waovu

      Na hasimami katika njia ya watenda dhambi+

      Naye haketi katika kiti cha wenye dhihaka.+

       2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+

      Naye huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini* mchana na usiku.+

  • 1 Timotheo 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Tafakari* mambo haya; zama katika hayo, ili maendeleo yako yaonekane wazi kwa watu wote.

  • Yakobo 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini anayechunguza sheria kamilifu+ ambayo ni ya uhuru na kudumu katika hiyo, amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi; naye atafurahia kile anachofanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki