Zaburi 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini* mchana na usiku.+ Zaburi 119:97 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 97 Jinsi ninavyoipenda sana sheria yako!+ Ninaitafakari* mchana kutwa.+
2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini* mchana na usiku.+