Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na mnaponyoosha mikono yenu,

      Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+

      Ingawa mnatoa sala nyingi,+

      Mimi sisikilizi;+

      Mikono yenu imejaa damu.+

  • Yeremia 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wanapofunga, sisikilizi sihi zao,+ na wanapotoa dhabihu nzima za kuteketezwa na matoleo ya nafaka, siyafurahii,+ kwa maana nitawaangamiza kwa upanga, kwa njaa kali, na kwa ugonjwa hatari.”+

  • Ezekieli 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi nitatenda kwa ghadhabu. Jicho langu halitasikitika; wala sitawahurumia.+ Hata wakilia kwa sauti kubwa masikioni mwangu, sitawasikia.”+

  • Mika 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wakati huo watamlilia Yehova awasaidie,

      Lakini hatawajibu.

      Atauficha uso wake kutoka kwao wakati huo,+

      Kwa sababu ya matendo yao maovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki