Nehemia 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi wakaniambia: “Wale waliobaki, ambao wamebaki kutoka utekwani, kule katika wilaya ya utawala,+ wako katika hali mbaya sana+ na katika aibu;+ na ukuta+ wa Yerusalemu umebomoka, na malango+ yake yameteketezwa kwa moto.” Yeremia 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yuda imeomboleza,+ na malango yake yamefifia.+ Yamehuzunika mpaka chini,+ na hata kilio cha Yerusalemu kimeenda juu.+
3 Basi wakaniambia: “Wale waliobaki, ambao wamebaki kutoka utekwani, kule katika wilaya ya utawala,+ wako katika hali mbaya sana+ na katika aibu;+ na ukuta+ wa Yerusalemu umebomoka, na malango+ yake yameteketezwa kwa moto.”
2 Yuda imeomboleza,+ na malango yake yamefifia.+ Yamehuzunika mpaka chini,+ na hata kilio cha Yerusalemu kimeenda juu.+