Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 4:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa sababu nchi hiyo itaomboleza,+ na mbingu juu hakika zitakuwa na giza.+ Ni kwa sababu nimesema, nimefikiria, wala sikujuta, wala sitarudi nyuma kutoka katika jambo hilo.+

  • Maombolezo 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+

      Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+

      Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+

  • Hosea 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndiyo sababu nchi itaomboleza+ na kila mkaaji ndani yake atadhoofika pamoja na mnyama wa mwituni na kiumbe kinachoruka cha mbinguni, na hata samaki wa baharini watakusanywa katika kifo.+

  • Yoeli 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Shamba limeporwa,+ nchi imeomboleza;+ kwa maana nafaka imeporwa, divai mpya imekauka,+ mafuta yamekauka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki