28 Kwa sababu nchi hiyo itaomboleza,+ na mbingu juu hakika zitakuwa na giza.+ Ni kwa sababu nimesema, nimefikiria, wala sikujuta, wala sitarudi nyuma kutoka katika jambo hilo.+
8 Je, haitakuwa kwa sababu hii kwamba nchi itafadhaika,+ na kila mkaaji ndani yake ataomboleza;+ nayo yote, itainuka kama tu Nile na kurushwarushwa na kuzama kama mto Nile wa Misri?’+