Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nao siku hiyo watanguruma juu yake na mngurumo kama wa bahari.+ Na mtu kwa kweli ataiangalia nchi, na, tazama! kuna giza lenye kutaabisha;+ na hata nuru imetiwa giza kwa sababu ya matone yanayoanguka juu yake.

  • Isaya 50:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mimi huzifunika mbingu weusi,+ nami hufanya nguo ya gunia iwe kifuniko chake.”+

  • Yoeli 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Siku hiyo ni siku yenye giza na weusi, siku yenye mawingu na weusi mzito,+ kama nuru ya mapambazuko iliyotandazwa juu ya milima.+

      “Kuna kundi la watu wengi sana na wenye nguvu;+ kundi kama hilo halijapata kuwako tangu zamani za kale,+ wala baada yake hakutakuwa na lingine tena hata kwa miaka ya kizazi baada ya kizazi.

  • Yoeli 2:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “Nami nitatoa maajabu mbinguni+ na duniani, damu na moto na nguzo za moshi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki