Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 8:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye ataiangalia dunia, na, lo! taabu na giza,+ weusi, nyakati ngumu na weusi bila mwangaza.+

  • Yeremia 4:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Niliiona nchi, na, tazama! ilikuwa tupu na ukiwa;+ na katika mbingu, na, tazama! nuru yake haikuwapo.+

  • Yoeli 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mbele yao nchi imefadhaishwa, mbingu zimetikisika. Jua na mwezi zimekuwa na giza,+ na nyota zimeondoa mwangaza wake.+

  • Amosi 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “ ‘Na itakuwa katika siku hiyo,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwamba nitalifanya jua lishuke katikati ya mchana,+ nami nitailetea nchi giza siku ya mwangaza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki