Isaya 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye ataiangalia dunia, na, lo! taabu na giza,+ weusi, nyakati ngumu na weusi bila mwangaza.+ Yeremia 4:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Niliiona nchi, na, tazama! ilikuwa tupu na ukiwa;+ na katika mbingu, na, tazama! nuru yake haikuwapo.+ Yoeli 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mbele yao nchi imefadhaishwa, mbingu zimetikisika. Jua na mwezi zimekuwa na giza,+ na nyota zimeondoa mwangaza wake.+ Amosi 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “ ‘Na itakuwa katika siku hiyo,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwamba nitalifanya jua lishuke katikati ya mchana,+ nami nitailetea nchi giza siku ya mwangaza.
23 Niliiona nchi, na, tazama! ilikuwa tupu na ukiwa;+ na katika mbingu, na, tazama! nuru yake haikuwapo.+
10 Mbele yao nchi imefadhaishwa, mbingu zimetikisika. Jua na mwezi zimekuwa na giza,+ na nyota zimeondoa mwangaza wake.+
9 “ ‘Na itakuwa katika siku hiyo,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwamba nitalifanya jua lishuke katikati ya mchana,+ nami nitailetea nchi giza siku ya mwangaza.