- 
	                        
            
            Yeremia 9:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
10 Nitapaaza kilio na maombolezo juu ya milima, na wimbo wa huzuni+ juu ya viwanja vya malisho; kwa maana vitakuwa vimeteketezwa+ hivi kwamba hakuna mwanadamu anayepita katikati na kwa kweli watu hawataisikia sauti ya mifugo.+ Kiumbe kinachoruka cha mbinguni na mnyama watakuwa wamekimbia; watakuwa wameenda.+
 
 -