Yeremia 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Niliiona milima, na, tazama! ilikuwa ikitikisika, na vilima vyote vilitetemeshwa.+ Nahumu 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Milima imetikisika kwa sababu yake, vilima navyo vikayeyuka.+ Dunia nayo itainuka kwa sababu ya uso wake; nchi yenye kuzaa pia, na wote wanaokaa ndani yake.+ Habakuki 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Alisimama tuli, apate kuitikisa dunia.+ Aliona, kisha akayarusha mataifa.+ Na milima ya milele ikavunjwa;+ vilima vinavyodumu kwa wakati usio na kipimo vikainama.+ Miendo ya zamani za kale ni yake.
5 Milima imetikisika kwa sababu yake, vilima navyo vikayeyuka.+ Dunia nayo itainuka kwa sababu ya uso wake; nchi yenye kuzaa pia, na wote wanaokaa ndani yake.+
6 Alisimama tuli, apate kuitikisa dunia.+ Aliona, kisha akayarusha mataifa.+ Na milima ya milele ikavunjwa;+ vilima vinavyodumu kwa wakati usio na kipimo vikainama.+ Miendo ya zamani za kale ni yake.