Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ndiyo sababu hasira ya Yehova imewaka juu ya watu wake, naye atanyoosha mkono wake juu yao na kuwapiga.+ Na milima itatetemeka,+ na maiti zao zitakuwa kama takataka katikati ya barabara.+

      Kwa sababu ya hayo yote hasira yake haijarudi nyuma, bali mkono wake bado umenyooshwa.

  • Ezekieli 38:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na kwa sababu yangu samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na wanyama wa mwituni na vitu vyote vinavyotambaa juu ya nchi na wanadamu wote walio katika uso wa nchi watalazimika kutetemeka,+ nayo milima kwa kweli itaangushwa chini+ na njia zenye mwinuko mkali zitaanguka, na kila ukuta utaanguka chini.’

  • Nahumu 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Milima imetikisika kwa sababu yake, vilima navyo vikayeyuka.+

      Dunia nayo itainuka kwa sababu ya uso wake; nchi yenye kuzaa pia, na wote wanaokaa ndani yake.+

  • Habakuki 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Alisimama tuli, apate kuitikisa dunia.+ Aliona, kisha akayarusha mataifa.+

      Na milima ya milele ikavunjwa;+ vilima vinavyodumu kwa wakati usio na kipimo vikainama.+ Miendo ya zamani za kale ni yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki