Ezekieli 38:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa sababu yangu, samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa mwituni, wanyama wote wanaotambaa juu ya nchi, na wanadamu wote walio duniani watatetemeka, nayo milima itaangushwa chini,+ na miamba itaanguka, na kila ukuta utaporomoka.’
20 Kwa sababu yangu, samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa mwituni, wanyama wote wanaotambaa juu ya nchi, na wanadamu wote walio duniani watatetemeka, nayo milima itaangushwa chini,+ na miamba itaanguka, na kila ukuta utaporomoka.’