4 Nchi itaendelea kunyauka+ mpaka wakati gani, na majani ya uwanja wote kukauka?+ Kwa sababu ya ubaya wa wale wanaokaa ndani yake wanyama na viumbe vinavyoruka vimefagiliwa mbali.+ Kwa maana wamesema: “Yeye hauoni wakati wetu ujao.”
10 Kwa maana nchi imejaa+ wazinzi.+ Kwa maana nchi inaomboleza+ kwa sababu ya laana, viwanja vya malisho vya nyika vimekauka;+ na mwenendo wao ni mbaya, na nguvu zao si kwa njia ya haki.