Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na ukahaba wake ulifanyika kwa sababu ya maoni yake ya kipuuzi, naye aliendelea kuitia nchi unajisi+ na kufanya uzinzi pamoja na mawe na pamoja na miti;+

  • Yeremia 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Laiti ningekuwa na mahali pa kukaa wasafiri+ katika nyika! Ndipo ningewaacha watu wangu na kwenda mbali nao, kwa maana wote ni wazinzi,+ kusanyiko kuu la wanaofanya hila;+

  • Yeremia 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 matendo yako ya uzinzi+ na milio yako,+ mwenendo wako mpotovu katika ukahaba. Juu ya vilima, katika mashamba, nimeyaona machukizo yako.+ Ole wako, Ee Yerusalemu! Huwezi kuwa safi+—baada ya muda gani zaidi?”+

  • Ezekieli 16:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kuhusu mwanamke anayefanya uzinzi, yeye huwachukua wageni badala ya mume wake mwenyewe.+

  • Hosea 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wote ni wazinzi,+ kama tanuru ambalo mwokaji amewasha, ambaye huacha kuchochea baada ya kukanda unga mpaka unapotiwa chachu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki