Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Zuia mguu wako usiwe mguu wazi, na koo yako isiwe na kiu.+ Lakini ulisema, ‘Hakuna matumaini!+ Hapana, lakini mimi nimewapenda wageni,+ nami nitawafuata.’+

  • Yeremia 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kuna msemo: “Mwanamume akimwacha mke wake na mke huyo aondoke kwake na kuwa wa mwanamume mwingine, je, mwanamume huyo anapaswa kurudi kwake tena?”+

      Je, nchi hiyo haikutiwa unajisi hakika?+

      “Nawe mwenyewe umefanya ukahaba pamoja na rafiki wengi;+ na je, unapaswa kurudi kwangu mimi?”+ asema Yehova.

  • Yeremia 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ‘Kwa kweli kama mke anavyomwacha mwenzake kwa hila,+ ndivyo ninyi, enyi nyumba ya Israeli, mlivyonitendea kwa hila,’+ asema Yehova.”

  • Hosea 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Nenda tena, mpende mwanamke anayependwa na rafiki+ yako na ambaye anafanya uzinzi, kama vile Yehova alivyowapenda wana wa Israeli+ ingawa wanageukia miungu mingine+ na kupenda keki za zabibu kavu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki