Yeremia 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ‘Kwa kweli kama mke anavyomwacha mwenzake kwa hila,+ ndivyo ninyi, enyi nyumba ya Israeli, mlivyonitendea kwa hila,’+ asema Yehova.” Hosea 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaenda na kumchukua Gomeri binti ya Diblaimu, naye akapata mimba, baadaye akamzalia mwana.+
20 ‘Kwa kweli kama mke anavyomwacha mwenzake kwa hila,+ ndivyo ninyi, enyi nyumba ya Israeli, mlivyonitendea kwa hila,’+ asema Yehova.”